Design a site like this with WordPress.com
Get started

Mauzo Hayaishii Pale Anaponunua Bali…

Maisha ni mauzo na yeyote anayeweza kuuza vizuri zaidi ndiye anayefanikiwa.

Na utaweza kupata chochote unachotaka kwenye maisha yako kama utaweza kuuza zaidi.

Tunauza muda wetu, utaalamu wetu, uzoefu wetu, huduma zetu na hata bidhaa mbalimbali.

Pia tunauza mawazo yetu, ushawishi wetu na hata ndoto na maono makubwa tuliyonayo.

Mauzo huwa hayaishii pale tu mteja  anaponunua,  bali  ndiyo  yanaanza. 

Mteja akishanunua,  jua  imani yake  kwako  ni kubwa,  hivyo  angalia  kipi zaidi unaweza kumuuzia  na  atakuwa  tayari kununua  zaidi na  zaidi,  kama  ulichomuuzia mwanzo  ni sahihi kwake.

Hatua ya kuchukua leo; endelea kumfuatilia mteja aliyenunua kwako ili aendelee kununua.

Kumbuka , mauzo hayana mwisho bali ndiyo kwanza yanaanza pale tu unapofanikiwa kumuuzia mteja.

MUHIMU;
Kama bado hujajiunga na kundi la wasapu la Mimi ni Mshindi jiunge leo kwani kuna maarifa mengi unayakosa ambayo sikushirikishi hapa.

Kujua ni maarifa gani hayo na jinsi ya kujiunga nitumie ujumbe wasapu kwa namba 0717101505. Kupata vitabu vizuri vya kujisomea kwa lugha  ya kiswahili wasiliana kwamba namba 0717101505.

Rafiki Na Mwalimu Wako, Afisa Mhamasishaji Mkuu (CIO)Chief Inspiration Officer.

Mwl. Deogratius Kessy

0717101505 au 0767101504
https://kessydeo.home.blog

Leave a comment

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

%d bloggers like this: