Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Natumaini uko salama rafiki yangu na unaendelea vizuri katika maisha yako. Leo ni siku nyingine ya kipekee sana kwetu katika maisha yetu hivyo tunaalikwa sote kumshukuru Mungu kwa zawadi hii ya uhai na tuitumie vizuri siku hii ya leo kuleta mabadiliko ambayo tunataka …
Continue reading "Amka Na Fanya Mabadiliko Haya Muhimu Kwenye Maisha Yako"