Hatuwezi kuendelea kama hatuwezi kuweka akiba. Kupata fedha na kutumia yote bila kuweka akiba ni umasikini mkubwa sana. Kila mmoja wetu anaalikwa kuweka akiba ambayo itamsaidia katika dharura. Watu wengi ambao wanakuwa wanakimbilia kukopa ni wale ambao hawana akiba. Kama una akiba na umepatwa na dharura kwanini uende ukakope? Unakopa kwa changamoto za fedha kidogo …
Continue reading "Jinsi Watu Wanavyojidanganya Kwenye Suala La Kuweka Akiba"