Jinsi Watu Wanavyojidanganya Kwenye Suala La Kuweka Akiba

Hatuwezi kuendelea kama hatuwezi kuweka akiba. Kupata fedha na kutumia yote bila kuweka akiba ni umasikini mkubwa sana. Kila mmoja wetu anaalikwa kuweka akiba ambayo itamsaidia katika dharura. Watu wengi ambao wanakuwa wanakimbilia kukopa ni wale ambao hawana akiba. Kama una akiba na umepatwa na dharura kwanini uende ukakope? Unakopa kwa changamoto za fedha kidogo …

Mambo Muhimu Ya Kuondoa katika Akili Ya Watoto

Watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu. Wazazi nao ni zawadi kutoka kwa Mungu, hakuna aliyewahi kuandika barua ya kuomba kuzaliwa na mzazi fulani. Bali wote tumejikuta tumezaliwa na wazazi ambao tunao sasa. Waswahili wanasema, kuzaa siyo kazi bali kazi ni kulea mwana. Kuna kazi kubwa sana ya malezi kwa sasa. Kumlea mtoto katika mtazamo chanya …

Hiki Ndiyo Kiunganishi Cha Ushindi Wowote Ule Unaotaka

Mpendwa rafiki, Kila mtu ni bosi wa maisha yake mwenyewe. Kila mtu ni bosi katika kazi yake. Hakuna mtu anayeweza kufanya kazi ya mwenzake. Kazi ya mtu ni kazi ukipewa hutoiweza hata kidogo. Tunatakiwa kuheshimu kazi za mwenzetu kwani kila mmoja ana kazi yake. Unaweza kuiona kazi ya mtu ni rahisi ila ukiingia kuifanya utaona …

Hiki Ndiyo Chanzo Kikuu Cha Maamuzi Mabovu

Mpendwa rafiki yangu, Kama kuna eneo ambalo wengi wetu tunaongoza kufanya maamuzi basi hayo maamuzi mengi ni mabovu. Wengi tumekuwa tu tunafanya maamuzi kwa sababu ya kuongozwa na hisia. Asilimia kubwa ya maamuzi tunayofanya mengi ni hisia na siyo akili. Tunakuwa na matatizo mengi sana kwa sababu ya kufanya maamuzi mabovu. Maamuzi ndiyo maisha, utakapoamua …

Eneo Muhimu Unalopaswa Kulidhibiti Katika Fedha

Fedha ni muhimu sana katika maisha yetu hilo halina ubishi. Watu wengi wamekuwa ni masikini wa fedha katika eneo la matumizi. Ukiangalia matumizi ya watu wengi unakuta matumizi yako juu ukilinganisha na kipato. Hii ni alama ya hatari sana. Kama mtu kipato chake ni 10 halafu matumizi yake ni 15 basi huyo yuko hatarini sana. …

Jinsi Ya Kujua Kama Unajua

Kila mtu anajua na kila mmoja wetu amezaliwa na tabia za kijiniazi. Changamoto ya watu wengi ni kushindwa kutumia vizuri rasilimali walizopewa na Mungu.  Wengi kinachowamaliza ni ile hali ya kuridhika, kutopenda kujisumbua kwa ajili ya wengine. Hii niliyokuwa nayo inatosha, hii kauli ya ubinafsi, hatupendi kujisumbua kwa ajili yetu wenyewe na hata wengine. Tunapenda …

Ukitaka Kumjua Mtu Alivyo Mpe Vitu Hivi Viwili

Tabia huwa hazidanganyi zinasema ukweli. Je ulikuwa unajua kwamba asilimia 40 ya matendo yanayofanyika kila siku siyo maamuzi bali ni tabia. Kile wanachofanya watu wengi kila siku ni tabia zao na wala siyo maamuzi. Binadamu anachofanya ni tabia sana kuliko maamuzi anayofanya. Mtu ni tabia, hivyo katika maisha jifunze sana kupitia tabia za watu kuliko …

Hiki Ndiyo Kitakachoweza Kukutoa Hapo Ulipo

Kila mtu anapenda kutoka katika maisha yake. Tunapenda mafanikio kwenye maisha yetu lakini mafanikio haya tunayoyataka yanaletwa na kitu kimoja ambacho mtu akikubaliana nacho ataweza kufanikwa sana. Matendo yetu huwa hayaendani na kile tunachokipenda kwenye maisha yetu. Hatuweki juhudi za kweli zinazoendana na kile tunachotaka hasa. Tunaishia tu kuongea kwa mdomo. Kama unataka kufanikiwa jiambie …

Jaribu Kufanya Kitu Hiki Ili Upate Faida Hii Muhimu Kwenye Maisha Yako

Kujaribu siyo kushindwa ,je unajaribu mara ngapi kufanya vile unavyotaka kufanya ili ufanikiwe kwenye maisha yako? Mara nyingi huwa tunajaribu na kushindwa, wengine wanajaribu na kushinda sasa inapotokea pale mtu anajaribu akashindwa ndiyo unakuta anakata tamaa kabisa kwenye maisha yake. Madalyn Murray O’Hiar aliwahi kusema; sijali kama nafanikiwa au nashindwa ilimradi najaribu. Natumaini nitafanikiwa. Hiyo …

Jinsi Unavyopoteza Kiasi Kikubwa Cha Fedha

Kama kila mtu angekuwa anajiwekea fedha katika akaunti maalumu ya uwekezaji basi leo kila mtu angekuwa vizuri sana kifedha. Tunapoteza kiasi kikubwa cha fedha pale tunapokuwa tunatumia fedha zote tunazozipata bila kuweka akiba. Kwa mfano, ungekuwa unaweka akiba yako kwa miaka mitano iliyopita leo hii ungekuwa mbali sana. Nakushauri fungua akaunti ya uwekezaji katika mfuko …

Design a site like this with WordPress.com
Get started