Mpendwa rafiki yangu, Fedha ni jawabu la mambo yote. Fedha ni ulinzi wa karne ya ishirini na moja kwa sababu kila kitu tunachohitaji tunakipata kwa njia ya fedha. Maisha yetu ya kila siku yanaendeshwa na fedha. Katika mchezo wa fedha ziko kanuni ambazo ukizifuata lazima utafanikiwa kwenye eneo hili. Kila mchezo una kanuni zake, hivyo …
Continue reading "Ungekuwa Mbali Sana Kifedha Kama Ungekuwa Unafanya Hivi Kwenye Fedha Zako"