Heri ya mwezi julai rafiki yangu, endelea kupambana kuhakikisha unapata kile unachotaka. Tumekuwa ni watu wa kujiwekea vikwazo sisi wenyewe. Mara nyingine tunajiambia haiwezekani bila ya kujaribu au kuuliza kwa wengine walioweza kufanya. Tumekuwa na lakini nyingi ambazo zimekuwa kama vikwazo kwetu kuweza kufika kule tunakotaka kufika. Ziko lakini nyingi na hii ndiyo mifano elekezi …
Continue reading "Hii Ndiyo Lakini Unayopaswa Kuiondoa Kwenye Maisha Yako Ili Uweze Kufanikiwa"