Mwandishi Earl Nightingale aliwahi kunukuliwa akisema, kinachoendelea ndani yako kinaonekana kwa nje. Kile unachofikiri kinaamua ni nini utafanya. Kila unachofikiri kila mara kitaamua ni wapi utakapoishia na maisha yako. Hapo wala hakuna ubishi. Mawazo yako unayowaza yawe ni chanya au hasi ndiyo yanakufanya wewe uonekane hivyo ulivyo. Ukifikiria mawazo ya kujenga, utaona matokeo mazuri unayotaka …
Continue reading "Kinachoendelea Ndani Yako Kinaonekana Kwa Nje"