Ujinga Ni Nini ? Ujinga ni kurudia kufanya kitu kile kile kwa mtindo ule ule halafu unategemea kupata matokeo tofauti. Kwa mfano, mwaka 2022 ulikuwa unafanya kazi au biashara kimazoea halafu mwanzoni mwa mwaka 2023 unajiambia mwaka huu lazima utafanikiwa. Utafanikiwa kwa namna gani kama mwendo uliotembelea mwaka jana unataka utembee nao mwaka huu? Lazima …
Wewe Ni Nani?
Heri ya mwaka mpya 2023 rafiki yangu nikupendaye, Ukijiuliza swali wewe ni nani mpaka uko hai mpaka sasa? Tumshukuru Mungu kwa kutustahilisha kuuona tena mwaka 2023. Kila mwaka unapata nafasi ya uhai, unamshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai. Sina uhakika kama itakufaa lakini kumshukuru Mungu ni vema na haki. Lakini sasa wewe kila mwaka unajivunia …
Kwa Nini Watu Wanadanganya?
Kudanganya imekuwa ni sehemu ya maisha ya watu wengi kwa sasa. Watu hupenda kutumia uongo kuwahadaa wengine ili kupata chochote au kile wanachotaka. Yaani imefikia hatua watu mpaka watu wanajihadaa wenyewe. Je, maisha ya uongo yanafaida gani kwetu? Njia bora ya kuishi maisha ni kuwa mkweli au kutokudanganya wengine au kujidanganya mwenyewe. Kwa nini watu …
Sala Dhidi Ya Kuwasema Wengine Vibaya
Usiwaongelee wengine vibaya, najua kuna watu wengine hawawezi kumaliza siku bila kuwasema WENGINE vibaya. Midomo yao iko kama vile bata ambaye hawezi kujizuia pale anapotaka kujisaidia. Nakusihi sana acha kusema watu vibaya, wewe siyo kiranja wa dunia ambaye unataka watu wawe kama vile unavyotaka wewe. Ukikosa mazuri kwa mtu ya kusema, basi kaa kimya na …
Ukitaka Kuoa Au Kuolewa Olewa Au Oa Mtu Huyu
Kwanza kabisa nikuambie tu kitu rafiki yangu nikupendaye, Huwezi kubadilisha asili ya mtu hata siku moja. Kama ulioa au kuolewa ukiwa na lengo la kutaka kumbadilisha mtu awe kama unavyotaka wewe hapo umejidanganya. Ukweli ni kwamba, ukitaka kuoa au kuolewa, oa au olewa na mtu ambaye hutaki kumbadilisha. Matatizo mengi kwenye mahusiano huwa yanayokea pale …
Continue reading "Ukitaka Kuoa Au Kuolewa Olewa Au Oa Mtu Huyu"
Watu Wanakupendea Vitu Hivi Viwili
Sisi binadamu tuna asili ya unafiki, huwa tupo kimaslahi zaidi. Tunaanzisha mahusiano na mtu fulani kwa sababu tunajua tutapata kitu fulani. Siyo watu wote wanaoanzisha mahusiano na wewe na unaona watu wanakupenda kweli, siyo kweli kwa sababu wengine wanakuja kwako kwa sababu ya maslahi kitu fulani na ataonesha anakupenda kwa sababu apate kile anachotaka. Watu …
Kila Kitu Kinategemea Hiki
Kadiri ya mwanafalsafa Seneca, mwanafalsafa wa falsafa ya ustoa anasema kwamba, kila kitu kinategemea maoni. Vile mtu alivyo ni jinsi anavyojiona yupo, maisha yako ni matokeo ya maoni uliyonayo juu yako. Una maoni gani juu yako? Kama una maoni chanya au hasi juu yako basi utakua kadiri ya maoni uliyonayo juu yako. Pata picha umevaa …
Fedha Hainunui Furaha, Je, Umasikini Unanunua nini?
Nilishajifunza sana na naendelea kujifunza zaidi juu ya misingi ya fedha. Kwa mtu ambaye hana hela huwa anaisema vibaya kwa sababu hana. HAKUNA mtu ambaye ana fedha halafu akaisema vibaya fedha. Naipenda fedha siyo kwa ubaya kwa sababu fedha ni jawabu la mambo yote. Tafuta fedha siyo kwa ubaya ila kwa uzuri. Ukishakuwa na fedha …
Continue reading "Fedha Hainunui Furaha, Je, Umasikini Unanunua nini?"
Kwenye Uhalisia Hiki Kitu Hakipo Kabisa
Watu wengi wanapenda kujiita watu fulani lakini hawapendi kuwa. Ni rahisi sana kujiita mwandishi, mjasiriamali, msanii na majina mengine unayoyajua. Ukiangalia kwenye mitandao ya kijamii, watu wengi wameandika kwambwa wao wamejiajiri au ni waandishi au wajasirimali. Lakini nikuambie kitu, hilo halina uhalisia. Ukitaka kujiita, mwandishi basi unapaswa kweli uwe unakaa kwenye mchakato na unaandika na …
Chochote Unachotaka Kufanya Kwa Namna Hii Kitakusumbua
Chochote unachotaka kufanya kwa urahisi kitakusumbua. Na chochote unachotaka kufanya kwa ugumu hakitakusumbua baadaye. Kwa mfano, unataka kufanya biashara kwa urahisi itakuja kukusumbua baadaye lakini, ukiifanya biashara kwa namna ugumu yaani unajitesa kwa hiyari kuhakikisha unajenga biashara na mifumo yake haitakusumbua baadaye lakini ukiendesha biashara kwa urahisi bila mifumo itakuja kukusumbua baadaye lakini mwanzo ukifanya …
Continue reading "Chochote Unachotaka Kufanya Kwa Namna Hii Kitakusumbua"