Kama unafanya kazi, kazi yako itaonekana. Huhitaji Show off ya kuwaonesha watu kwamba unafanya kazi. Matokeo huwa hayadanganyi, pale unapokuwa unafanya kazi, itaonekana tu wala huhitaji kuwaonesha watu matokeo bali matokeo yanajionesha yenyewe. Ukifanya kitu chochote kile kwa uaminifu matokeo yataonekana. Asili huwa haidanganyi. Kama unakaa kwenye mchakato kweli, wala usiwe na wasiwasi matokeo yataonekana.Fanya …
Ukiacha Vitu Hivi Utafanikiwa
Kila mmoja wetu kwenye maisha ni mshindi kama akiweza kuacha kufanya vitu vifuatavyo; Moja uvivu, Kama ukiacha uvivu, ukiwa mtu wa kujituma kufanikiwa kwako ni suala la muda tu. Unajua unapaswa kufanya nini, hivyo fanya ACHA uvivu. Uvivu ndiyo unawafanya watu wengi kushindwa kufanikiwa kwenye jambo lolote lile. Binadamu ni kwa asili ni wavivu, hivyo …
Iko Siku Utakuja Kunyang’anywa Vitu Hivi, Chukua Tahadhari Mapema
Vitu vyote ulivyonavyo, kuanzia mali, watoto, mke, mume, mama, baba na vingine vyote umeazimwa au kukopeshwa kwa muda. Asili imekupa kwa muda, inakuambia tu tumia lakini siku ikivihitaji itavichukua. Kwa mfano, ukiazima kitu cha mtu, unakitumia tu lakini unajua siyo chako na hata ukiambiwa urudishe haitakuuma kwa sababu unajua siyo chako. Kwa mtazamo huo hapo …
Continue reading "Iko Siku Utakuja Kunyang’anywa Vitu Hivi, Chukua Tahadhari Mapema"
Wauzie Watu Kitu Hiki
Wauzie watu kile ambacho watu tayari wanataka. Usijisumbue kuwauzia watu kitu ambacho hawakitaki. Huko ni kupingana na asili. Ni kupingana na soko, mara zote soko huwa halina huruma hivyo linampiga yeyote anayekwenda kinyume na soko. Kwa mfano, ulaji wa vitoweo, huhitaji nguvu KUBWA kumshawishi mtu kula kuku.Lakini, Unahitaji nguvu KUBWA kumshawishi mtu kula kware. Hapo …
Aina Mbili Za Ushindi Kwenye Mauzo
Mpendwa muuzaji, Kila mtu ni muuzaji, iwe umejiajiri au umeajiriwa basi wewe ni muuzaji kwa sababu kupitia mauzo ndiyo yanafanya maisha yako yaweze kwenda. Kwenye mauzo kuna ushindi wa aina mbili, Moja, kuuza.Kwenye kuuza hapa ni pale mteja anapotoa hela yake mfukoni na kununua kile unachouza. Mbili, kuuziwa. Kuuziwa ni pale mteja anapokupa sababu ya …
Ulichonacho Kinatosha Kama…
Huwa tunadharau vile tulivyonavyo na kuthamini vile ambavyo hatuna. Lakini, tunapaswa kuthamini vile tulivyonavyo kwanza kwa sababu ndiyo vitu muhimu kwetu ndiyo maana tukaanza kuwa navyo. Kama ingekuwa siyo muhimu basi usingekuwa navyo. Ulichonacho kinatosha kama ukifikiria vya kutosha. Fikiria una nini na je ulishafikiria vya kutosha juu ya kile ulichonacho? Fikiria vya kutosha kwa …
Hii Ndiyo Sababu Kwa Nini Watu Wengi Huwa Hawatimizi Ahadi Zao Za Kifedha
Sababu moja kuu ni kwa sababu kutoa hela kunauma Mtu anaweka ahadi lakini inapofika wakati wa kutoa anakuwa mgumu, atakubali kwa furaha kabisa lakini INAPOKUJA kwenye utekelezaji anakupiga chenga kwa sababu kutoa hela kunauma. Hata watu wanapotaka kununua kitu kwa mfano wateja, wanakuwa na vipingamizi mbalimbali kwa sababu ya kutaka kukwepa kutoa fedha yake. Siyo …
Continue reading "Hii Ndiyo Sababu Kwa Nini Watu Wengi Huwa Hawatimizi Ahadi Zao Za Kifedha"
Mabadiliko Hayaji Kwa Njia Hii
Kwanza unapaswa kuelewa kwamba mabadiliko ni kitu kigumu kwa mtu yeyote yule. Yule ambaye anataka kubadilika mara zote huwa anabadilika. Ila yule ambaye hataki mabadiliko, manager huwa yanamwacha. Kama unataka mabadiliko kwenye eneo lolote lile kuwa mtu wa kufanya na siyo kutamani. Usiwe mtu wa kutamani kuwa mtu fulani badala yake badilika na kuwa mtu …
Ukiona Unauliza Bei Ya Vitu, Jua Kuna Kitu Hiki Kwako
J.P Morgan aliwahi kunukuliwa akisema, kama unauliza gharama ya kitu basi jua huwezi kukimudu kitu hicho. Hii ina maana gani kwetu, kama unauliza bei ya vitu ukienda sehemu basi jua kiwango chako cha fedha bado. Unatakiwa kuwa na fedha nyingi kiasi kwamba wewe huulizi bei ya kitu bali unanunua tu. Mtu mwenye fedha nyingi haulizi …
Continue reading "Ukiona Unauliza Bei Ya Vitu, Jua Kuna Kitu Hiki Kwako"
Wimbo Ambao Unapaswa Kuuimba Kila Siku
Kwenye maisha kuwa na shukrani kwa kila kitu na utakua mtu wa furaha.Kwa kukosa kuwa mtu wa shukrani, utaona maisha ni magumu sana. Kuwa na shukrani kwa watu wengine ambao wanafanya maisha yako yaweze kwenda. Usiwachukulie watu poa, wewe siyo kisiwa, wathamini na washukuru kwa namna ambavyo wamegusa maisha yako. Kuwa na shukrani ya kiimani, …