Mpendwa rafiki yangu, Kama kuna eneo ambalo wengi wetu tunaongoza kufanya maamuzi basi hayo maamuzi mengi ni mabovu. Wengi tumekuwa tu tunafanya maamuzi kwa sababu ya kuongozwa na hisia. Asilimia kubwa ya maamuzi tunayofanya mengi ni hisia na siyo akili. Tunakuwa na matatizo mengi sana kwa sababu ya kufanya maamuzi mabovu. Maamuzi ndiyo maisha, utakapoamua …
Continue reading “Hiki Ndiyo Chanzo Kikuu Cha Maamuzi Mabovu”