Hiki Ndiyo Chanzo Kikuu Cha Maamuzi Mabovu

Mpendwa rafiki yangu, Kama kuna eneo ambalo wengi wetu tunaongoza kufanya maamuzi basi hayo maamuzi mengi ni mabovu. Wengi tumekuwa tu tunafanya maamuzi kwa sababu ya kuongozwa na hisia. Asilimia kubwa ya maamuzi tunayofanya mengi ni hisia na siyo akili. Tunakuwa na matatizo mengi sana kwa sababu ya kufanya maamuzi mabovu. Maamuzi ndiyo maisha, utakapoamua …

Jaribu Kufanya Kitu Hiki Ili Upate Faida Hii Muhimu Kwenye Maisha Yako

Kujaribu siyo kushindwa ,je unajaribu mara ngapi kufanya vile unavyotaka kufanya ili ufanikiwe kwenye maisha yako? Mara nyingi huwa tunajaribu na kushindwa, wengine wanajaribu na kushinda sasa inapotokea pale mtu anajaribu akashindwa ndiyo unakuta anakata tamaa kabisa kwenye maisha yake. Madalyn Murray O’Hiar aliwahi kusema; sijali kama nafanikiwa au nashindwa ilimradi najaribu. Natumaini nitafanikiwa. Hiyo …

Jinsi Unavyopoteza Kiasi Kikubwa Cha Fedha

Kama kila mtu angekuwa anajiwekea fedha katika akaunti maalumu ya uwekezaji basi leo kila mtu angekuwa vizuri sana kifedha. Tunapoteza kiasi kikubwa cha fedha pale tunapokuwa tunatumia fedha zote tunazozipata bila kuweka akiba. Kwa mfano, ungekuwa unaweka akiba yako kwa miaka mitano iliyopita leo hii ungekuwa mbali sana. Nakushauri fungua akaunti ya uwekezaji katika mfuko …

Huwezi Kushinda Siku Zote Ila Unaweza Kujifunza Siku Zote

Licha ya kujiandaa na ushindi lakini siyo kila wakati mambo yanaweza kwenda kama vile tunavyotaka sisi. Tunapokuwa tunapanga mambo yetu na dunia inapanga. Hatuwezi kuizuia dunia kufanya vile inavyotaka bali tunatakiwa kukubaliana na asili ya dunia. Hatuwezi kushinda kila wakati, kuna muda tunashindwa hivyo ni jambo la kawaida hilo kila mtu anaalikwa kulifahamu hilo. Hatujui …

Hii Ndiyo Lugha Bora Ya Kufundishia Watoto

Rafiki, Kila mmoja wetu alikuwa mtoto, kama unasoma hapa huenda una mtoto au unatarajia kupata mtoto. Watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu, hivyo tunatakiwa kujifunza namna ya kuwalea watoto hawa ambao tumepewa kama zawadi. Wazazi wengi wanajua kuzaa lakini kwenye malezi kuna ubinafsi mkubwa. Unaweza kukuta mzazi anajijali yeye lakini ukienda kumuangalia mtoto wake, hawafanani …

Hiki Ndiyo Kitu Cha Kuchagua Pale Unapokuwa Ndani Ya Kundi

Kitu ambacho kinafanywa na wengi katika jamii ndiyo huonekana ni sahihi hata kama siyo sahihi. Watu wanapenda sana kuwa ndani ya kundi ili waonekane nao wako kama wengine. Muda mwingine tunaingia kwenye kundi ili tusipitwe na wakati, wako ambao walikuwa hawajajiingiza kwenye mikopo lakini walipoona wengine wanafanya nao wakavutiwa kuingia kwa fikra za kundi. Watu …

Huu Ndiyo Aina Ya Msamaha Mgumu Kuliko Wote

Mpendwa Rafiki yangu, Msamaha ni kitu kirahisi kuongea kwa mdomo lakini msamaha ni zaidi ya kuongea kwa mdomo. Ni rahisi kusema nimekusamehe kwa mdomo lakini ndani yako bado unaendelea kubaki na maumivu moyoni. Msamaha wa kweli muda mwingine unatufanya tuonekane wapumbavu mbele za watu. Haiwezakane mtu kusamehewa kosa kama lile, hapa patakuwa na mkono wa …

Hii Ndiyo Faida Moja Pekee Tunayoipata Kupitia Makosa Tunayofanya

Kila mmoja wetu anafanya makosa katika maisha yake.  Hakuna ambaye hakosei kila mtu anakosea na huo ndiyo udhaifu wa binadamu. Tunapofanya makosa iko faida moja ya kipekee sana tunayoipata katika maisha yetu kupitia yale makosa tunayofanya kila siku. Kupitia makosa tunayofanya, inakuwa ni kama shule kwani katika shule tunajifunza mengi ambayo yanatusaidia kuendesha maisha yetu …

Hii Ndiyo Maana Halisi Ya Maadili Hapa Duniani

Watu wamekuwa ni watu wa kushikilia maadili ambayo hayana maana. Tunashikilia maadili hata kama si sahihi kwa sababu ya nidhamu ya uoga. Katika kuendesha dunia kwa usawa tunatakiwa kuangalia kuongozwa na akili kuliko hisia na tuwe huru kubadilisha chochote kile katika maisha yetu pale tunapoona kitu hiki siyo sawa hata ndiyo utaratibu ulioweka. Watu wenyewe …

Jiandae Kwanza Kabla Ya Mabadiliko Hayajatokea

Huwa tunaisubiria mpaka mabadiliko yatokee ndiyo tuanze kuchukua hatua. Huwa tunajua kabisa tuna misimu ya baridi, jua au mvua hivyo tunatakiwa kujiandaa kukabiliana na baridi kabla baridi haijaanza kutokea. Huwa watu wanaingia kwenye gharama kubwa pale wanapofanya uzembe wa kutochukua hatua mapema. Kwa mfano, kipindi cha jua Unaweza kununua vitu vya kujikinga na baridi kwa …

Design a site like this with WordPress.com
Get started