Kila siku unatakiwa kuishi maisha ya vile unavyotaka wewe kwa sababu wewe ndiyo mkurugenzi wa maisha yako. Tumekuwa watumwa wa kuishi maisha ya watu wengine na siyo vile tunavyotaka sisi. Na hii imetuletea maisha ya maigizo sana. Chochote unachotaka kufanya fanya kwa ajili yako na siyo kumfurahisha mtu yeyote yule. Maish ni mafupi sana kama …
Continue reading “Kwanini Hupaswi Kufanya Kama Watu Wanavyotaka Wao”