Vitu Vitakavyokusaidia Kuendesha Biashara Yenye Mafanikio

Ni muhimu sana kuingia kwenye biashara unayoipenda na una uzoefu nao. Lakini lipo kosa la watu wengi ambalo wanakuwa wanafanya pale wanapokuwa wanafanya kitu wanachopenda. Kosa ambalo linawagharimu watu wengi ni kujua kile ambacho wanafanya zaidi kuliko kujua biashara yenyewe. Kwa mfano, kama mtu anajua na anapenda kupika chapati basi anaanzisha biashara ya chapati na …

Jamii Isikuvuruge Kwa Tafsiri Zake

Jamii ina tafsiri mbaya pale unapoonekana unapenda sana kile unachofanya. Jamii inatafsiri mbaya pale unaoonekana unapenda sana fedha. Kifupi, jamii ina kisirani na mtu yeyote ambaye yupo tofauti. Jamii inawapenda watu ambao ni wa kawaida. Kwa sababu, jamii haitaki kuonekana wao ni wazembe kwa kushindwa kufanya makubwa hivyo kazi yao kubwa ni kuwafanya watu wajione …

Hiki Ndiyo Kitaamua Mafanikio Yako

Hakuna kitu kingine kitakachoamua mafanikio yako, zaidi ya mtazamo wako. Mtazamo wako utaamua mafanikio yako. Mtazamo wako ndiyo picha yako ya akili yako. Jinsi unavyoona vitu, ndivyo mambo yako yanavyokuwa.Ukiwa na mtazamo hasi au chanya na vitu vitakuja hivyo hivyo. Mafanikio yako yatatokana na kile unachoona iwe unaona uwezekano au unaona changamoto. Watu wengi wanafungwa …

Hata Wewe Ni Kikwazo

Huwa mtu anaposhindwa kwenye jambo lolote lile, huwa anatafuta sababu za kwa nini ameshindwa.Ni kawaida ya binadamu kutopenda kukubali kosa au kile alichofanya.Mara nyingi kitu kikitokea huwa tunatafuta sababu nani wa kumlaumu au kutafuta sababu nzuri ambazo zitaturidhisha ili kukwepa kukiri makosa yetu binafsi. Kuna vikwazo vya aina mbili kwenye maisha yetu. Moja ni vikwazo …

Elimu Ya Biashara

Rafiki yangu nikupendaye, Kitu kimoja unachotakiwa kujua ni kwamba, elimu ya biashara haijakamilika kama hakuna vitendo. Hata kama ungesoma vitabu vingi kiasi gani. Ukahudhuria kila aina ya mafunzo kuhusu biashara.Kumbuka, elimu yako ya biashara haijakamilika kama hujajifunza kwa vitendo. Siyo tu kwenye biashara bali pia kwenye kitu chochote kile. Elimu haifanyi kazi kama hakuna vitendo. …

Bila Kitu Hiki Huwezi Kufanya Makubwa Kwenye Maisha Yako

Sababu za sisi kufanikiwa ziko nyingi sana. Na iko sababu moja ambayo inatufanya tuendelee kupata ushindi kamili. Kwenye maisha yako, kama ukikosa UJASIRI huwezi kupata kile unachotaka. Mwanafalsa Aristotle aliwahi kunukuliwa akisema, kamwe huwezi kufanya kitu chochote kwenye hii dunia kama huna ujasiri. Maisha yako yanabadilika au kutokubadilika kwa sababu moja tu ambayo ni ujasiri …

Chanzo Cha Usaliti

Ni asili ya binadamu kusalitiana. Na karibu kila eneo la maisha yetu tayari watu wameshasalitiana. Kama mtu anaweza kujisaliti yeye mwenyewe sembuse wewe? Nini chanzo cha usaliti na usaliti huwa unaanza kwa namna gani? Martin Luther aliwahi kunukuliwa akisema, kila usaliti huwa unaanza na UAMINIFU.Mtu akitaka kukusaliti, ataanza kwanza na GIA ya UAMINIFU. Atajenga uaminifu …

Usipotimiza Wajibu Wako Utakuja Kuulizwa

Kila mtu amepewa kazi yake hapa duniani. Na usipotimiza wajibu wako wa msingi, asili itakuja kukudai na kukuuliza. Lazima utimize kile unachopaswa kufanya. Kwa sababu ni wajibu wako kufanya. Kwa mfano, kwenye familia, kama mzazi humwambii mtoto ukweli, utakuja kuulizwa. Usikubali mtu apate matokeo hasi kwa sababu ya wewe kushindwa kutimiza majukumu yako. Wakati mwingine …

Ngumu Kama Bado Hujaanza

Mara nyingi kabla hatujaanza jambo lolote lile, huwa tunaangalia mwisho. Tutawezaje kufika kule tunakotaka kufika. Kwa mfano, kufanya kitu kwa siku 100 bila kuacha unaweza kuona ni nyingi. Lakini, ukiwa wewe unaangalia siku moja tu, ni rahisi sana kufikia malengo ya kufanya kitu kwa siku mia moja. Usiangalie matokeo, bali angalia pale ulipo sasa. Angalia …

Maisha Mabaya Kuishi

Ni maisha ambayo hayana maana kuishi. Ukiishi maisha ambayo hayana maana kuishi unapoteza maana yako. Maisha yako binafsi yanapaswa kuwa na maana kwako wewe mwenyewe. Kuwa na maana kwa wengine. Kama jamii unayoishi nayo haijivunii kuhusu wewe, unakuwa na maana gani ? Usiwe sehemu ya kero kwa watu wengine. Ishi maisha ambayo yana maana kwa …

Design a site like this with WordPress.com
Get started