Mpendwa rafiki yangu, Kwa wale wanaoishi katika majiji kitu kinachoitwa foleni imekuwa ni kitu cha kawaida sana. lakini mimi siko hapa kukushirikisha foleni ya barabarani. Muda wetu umekuwa mfupi sana na mambo ya kufanya ni mengi sana tunajikuta tunajiambia tutafanya kesho na kesho imekuwa kesho mpaka mwaka unaisha. Mambo siyo marahisi kama unavyofikiria ila inawezekana …
Continue reading "Huu Ndiyo Muda Ambao Hauna Foleni Kabisa Kwenye Maisha Yako"