Maisha ya kujiamini ni maisha ya kifamle au kimalikia. Wafalme wanaishi vile watakavyo vivyo hivyo hata malikia wanaishi vile watakavyo. Ni watu wanaojikubali sana siyo kwamba malikia ni watu wazuri sana au walioumbika sana bali wanajiamini sana kwa nafasi waliyo. Kila mtu ni mfalme na malikia wa maisha yake. Unatakiwa kufurahia maisha yako na usisubiri …
Continue reading "Huu Ndiyo Ufalme Ulio Mkuu Kuliko Ufalme Wote"