Mpendwa rafiki yangu, Kila mwanadamu ambaye ana akili timamu hawezi kubisha kuwa fedha siyo muhimu kwenye maisha yake. Watu wengi wanafanya kazi lakini wamekuwa ni watu wa madeni makubwa. Â Mtu anakuwa hana anachopata mwisho wa mwezi fedha yote inaenda kwenye madeni. Madeni ni mabaya yanawafanya watu kuwa watumwa. Fedha ambayo huruhusiwi kuitumia ni ile ambayo …
Continue reading "Hii Ndiyo Fedha Ambayo Huruhusiwi Kuitumia"