Mambo ya fedha ni magumu kwa sababu sisi wenyewe ndiyo tunayafanya kuwa magumu kwa sababu ya kushindwa kuishi misingi ya fedha. Kuishi misingi ya fedha inahitaji nidhamu kweli. Ndiyo maana wanaofanya vizuri eneo hili wako wa chache na wengi wanashindwa kwa sababu ya kukosa uthubutu wa kuwa na nidhamu. Fanya vitu hivi viwili katika mambo …
Continue reading "Fanya Vitu Hivi Viwili Katika Mambo Ya fedha"