Mpendwa rafiki yangu, Kwa lugha rahisi tu, hakuna mafanikio yoyote bila nidhamu. Kila unayemwona amefanikiwa jua kabisa nidhamu ndiyo limetumika kama daraja la mafanikio. Nidhamu ndiyo mama wa mafanikio karibu kila eneo la maisha yetu. Hebu niambie tu, kama ingekuwa huna nidhamu ungekuwa wapi leo? Hongera sana kwa kuwa na nidhamu ya kusoma hapa katika …
Continue reading "Ili Nidhamu Yako Iwe Vizuri, Hakikisha Unakuwa Na Kitu Hiki"