Mpendwa rafiki yangu, Hongera sana kwa kutimiza nusu mwaka sasa ya mwaka 2019, uwe na mwezi juni mzuri wenyewe furaha na mafanikio makubwa. Kama tunavyojua dunia inajiendesha kwa taratibu na misingi yake. Kwa mfano, mvua inanyesha vile inavyotaka yenyewe na siyo vile tunavyotaka sisi. Jua linawaka kwa mipango yake yenyewe. Hakuna mtu anayeweza kuiamuru dunia …
Continue reading "Hivi Ndivyo Sheria Ya Asili Haiwezi Kukuacha Salama"