Mpendwa rafiki yangu, Mtu yeyote ambaye hana mwelekeo basi mwelekeo wowote humchukua, mtu mwa namna hii anakuwa hana tofauti na bendera. Mahali ambapo upepo unakwenda naye anaenda, usiwe mtu wa kuishi bila misingi sahihi ya maisha. Leo nakwenda kukushirikisha mambo 13 ambayo kila kijana anapaswa kuyajua na mambo hayo ni kama ifuatavyo. Kuwa na marafiki …
Continue reading "Mambo 13 Unayopaswa Kuyajua Kabla Ya Kufika Miaka 30"