Ukichunguza matatizo mengi tuliyonayo chanzo kimoja ni fedha. Hata matatizo mengi uliyonayo siyo kwamba ni matatizo makubwa sana bali kuna kitu kinachangia wewe kuwa hivyo.Kumbe basi, matatizo mengi watu waliyonayo yanasabishwa na ukosefu wa fedha. Kama una matatizo, halafu tatizo lako linaweza kutatuliwa na fedha basi wewe huna tatizo hapo, Bali tatizo lako ni fedha …
Continue reading "Kama Tatizo Lako Linatatuliwa Na Fedha Basi Jua Tatizo Lako Ni Hili Hapa"