Kwenye kitabu cha barua kutoka gerezani mwandishi alikuwa anamwandikia mtoto wake wakati yeye akiwa gerezani.Alikuwa ana mshirikisha misingi mbalimbali ya mafanikio. Mwandishi anamshirikisha mtoto wake sheria ambayo alikuwa anaitumia kwenye masoko na kufanikiwa. Sheria hii tunaweza kuitumia hata sisi na ikatusaidia kupata masoko na kuongeza mauzo. Unajua mauzo ndiyo kila kitu katika biashara, kama huuzi …
Continue reading "Kama Unataka Kuuza Sana, Tumia Sheria Hii Ya Halber Kwenye Masoko"