Siyo Bufee ni Lazima

Unapojenga misingi yako kwenye kazi au biashara inapaswa kuwa ni suala la lazima na siyo bufee.Kwenye bufee mtu anachagua aina ya chakula anachotaka. Sasa unapojenga timu ukitaka kila mtu achague kufanya kile anachotaka huwezi kufikia lengo. Kama unajenga kitu, ni lazima kila mtu afuate misingi unayojenga na siyo kuchagua. Mtu asikuambie hiki naweza kufanya hiki …

Siyo Bufee ni Lazima

Unapojenga misingi yako kwenye kazi au biashara inapaswa kuwa ni suala la lazima na siyo bufee.Kwenye bufee mtu anachagua aina ya chakula anachotaka. Sasa unapojenga timu ukitaka kila mtu achague kufanya kile anachotaka huwezi kufikia lengo. Kama unajenga kitu, ni lazima kila mtu afuate misingi unayojenga na siyo kuchagua. Mtu asikuambie hiki naweza kufanya hiki …

Usidanganye Kwenye Mchakato, Huyu Hapa Atakukamata

Anayepaswa kuaminiwa ni Mungu tu, wengine wote tunapaswa kuleta data. Unaweza kudanganya kwenye mchakato lakini matokeo yakakukamata. Usitengeneze mazingira ya kutokuaminika kwenye maisha yako. Kuaminika ni mtaji, ukivunja uaminifu kwenye mchakato wowote ule kumbuka matokeo yatakukamata. Unasema biashara yako inaendelea vizuri, inaendelea vizuri kwa namba zipi unazopima? Unasema uko kwenye mchakato, lakini matokeo yanakukamata. Watu …

Kuwa Kama Google

Kwa zama ambazo tunaishi sasa, kila mtu akitaka kitu lazima aanze na ku google kwanza. Google imeturahisishia maisha. Tumekuwa tunaamini google kwamba, ukiingia na kugoogle kile unachotaka basi unakipata. Na watu huwa wanapata shida sana kwenye eneo la kufanya maamuzi. Hivyo, kabla hawajafanya maamuzi yoyote yale, google huwa inawasaidia kufanya maamuzi. Kabla mtu hajafanya maamuzi …

Unakomaa Na Nini ?

Ukiwa unaenda safari yoyote, kabla hujaongeza mwendo zaidi lazima ujue kama uko njia sahihi au la.Hata kwenye maisha yetu ya kila siku, kabla hujaendelea kufanya kile unachopaswa kufanya unapaswa kujua je, uko katika sehemu sahihi. Usiendelee kufanya kile unachofanya kama hujui hata nini unafanya. Usisafiri kama hujui wapi unaenda. Jua kwanza njia, jua kama upo …

Njia Nzuri Ya Ukosoaji

Kuna njia ambayo unaweza kumsifia mtu na baada ya muda ukawa umefuta yote ambayo umemwambia. Kuna neno ambalo ukilitumia hata kama mtu amefanya mazuri, anajikuta anasahau yale mazuri ambayo umemwambia. Na watu huwa hawasifii, kwa sababu wanamsifia mtu huku tena wanakosoa kwa namna nyingine. Na neno ambalo linafuta sifa zote ni lakini. Kwa mfano, nimekusamehe …

Hii Ndiyo Asilimia Yenye Mafanikio Makubwa Kwenye Kila Tasnia

Kwenye tasnia yoyote ile unayoijua duniani, basi asilimia moja kwenye kila tansia ndiyo ina mafanikio makubwa.Kwenye kila tasnia, asilimia moja ndiyo wana mafanikio makubwa. Kwa mfano, ukiangalia kwenye uandishi, udaktari wale ambao wamefanikiwa sana kwenye tasnia hizo ni asilimia moja tu ya watu wenye mafanikio makubwa.Asilimia tisini na tisa, huwa inakua na maisha ya kawaida …

Usiende Kinyume Na Asili

Mpendwa rafiki yangu, Kama utayaendesha maisha yako kadiri ya asili basi hautakuwa na maisha magumu. Kinachofanya maisha kuwa magumu, ni watu kuhangaika na vitu vingi. Kiasili, mahitaji ya msingi ni machache lakini anasa ndiyo zinafanya maisha kuwa magumu. Maisha tayari ni magumu, usiyafanye kuwa magumu zaidi kwa kuhangaika na mambo mengi.Jitafute na ukishajipata, tulia kwenye …

Kustaafu Ni Kuisha Kwa Matumizi

Tafiti zinaonesha kwamba watu ambao huwa wanastaafu kazi huwa wanakufa mapema. Hata kama utastaafu kazi kwa ajili ya kutimiza sheria za kazi lakini kwako binafsi usistaafu kazi. Fanya kazi maisha yako yote. Na siku ukiwa hauko duniani ndiyo utakua mwisho wako wa kazi. Ila kwa sasa fanya kazi.Kustaafu kazi maana ni kuisha kwa matumizi. To …

Jinsi Ya Kupata Watu Waaminifu Wa Kufanya Nao Kazi

Hakuna kitu kigumu kwenye zama hizi kama kupata watu waaminifu. Ingekuwa watu waaminifu wanauzwa dukani kama bidhaa, basi ingekuwa raha lakini watu hao hawapatikani dukani. Uaminifu umekuwa ni changamoto, kuanzia kwenye mahusiano, kazi, biashara yaani kila sehemu. Watu ni rahisi kuigiza uaminifu lakini anashindwa kuishi uadilifu akiwa peke yake. Unapaswa kujihusisha na watu waaminifu kwenye …

Design a site like this with WordPress.com
Get started