Kama umeamua kufanya kazi au biashara fanya biashara kweli. Toa thamani kubwa na mtu anufaike na huduma yako. Chochote kile ulichoamua kukifanya hujaamua kufanya kwa sababu yako binafsi. Unafanya kwa ajili ya wengine. Hakuna kitu ambacho kinawachosha wateja kama huduma mbovu. Dalili ya kwanza biashara kufa ni pale mtu anapotoa huduma mbovu. Kutoa huduma mbovu …
Continue reading "Dalili Za Kushindwa Vibaya Kwenye Biashara"