Mpendwa rafiki yangu, Mahusiano yetu yanajengwa na uaminifu. Kama mahusiano hayana uaminifu yanakuwa hayana uhai na watu mara nyingi huwa wanapenda kuanzisha mahusiano mahali ambako pana uhakika. Kwa mfano, wewe umeanzisha mahusiano sehemu gani? yenye uhakika au isiyokuwa na uhakika? Natumaini utakua umeanzisha sehemu yenye uhakika kama unajua hakuna uhakika huwezi kujisumbua hata kidogo. Katika …
Continue reading "Hii Ndiyo Injili Inayopaswa Kuhubiriwa Kwenye Mahusiano Yetu"