Watu Huwa Hawapendi Watu Wa Namna Hii
Unapofanya kitu chochote kile, hakikisha kinatoka ndani ya moyo wako, kwa sababu watu huwa hawapendi watu wanafiki kabisa. Kama unajali, hakikisha unajali kweli na inatoka moyoni na siyo kufanya hivyo kwa unafiki ili kupata kitu fulani. Kama unamsifia mtu msifie mtu kweli inayotoka moyoni na siyo kumsifia kiunafiki ili uweze kukubaliana naye juu ya kitu …
Nidhamu Itakayokusaidia Kupata Kile Unachotaka
Kitu Cha Kufanya Pale Unapoona Wengine Wanakosea
Aliyekuwa mwanafalsafa wa ustoa na mtawala wa Roma, mwanafalsafa Marcus Aurelius aliwahi kunukuliwa akisema, pale unapoona wengine wanakosea,wape maelekezo sahihi, na kama huwezi kuwapa maelekezo sahihi basi kaa kimya. Huenda kuna watu ambao unaona wanakosea kitu cha kufanya ni kuwapa maelekezo sahihi ili wasifanye makosa ambayo wanafanya. Na siyo kila mtu unaweza kumwambia, wale ambao …
Continue reading "Kitu Cha Kufanya Pale Unapoona Wengine Wanakosea"
Jinsi Ya Kuendesha Maisha Yako Kifaida
Hii Ndiyo Kazi Yako Ya Kwanza Kwenye Maisha
Ukishazaliwa tu hapa duniani kazi yako ya kwanza kabisa ni kushughulika na watu. Ni kitu gani ambacho unaweza kufanya bila kushughulika na watu? HAKUNA. Kila kazi tunayofanya inahitaji kushughulika na watu wengine ili tuweze kupata kile tunachotaka. Kama kazi yako ya kwanza ni kushughulika na watu unapaswa kujua saikolojia ya kushughulika na watu. Kushughulika na …
Continue reading "Hii Ndiyo Kazi Yako Ya Kwanza Kwenye Maisha"
Jinsi Ya Kukimbia Mbio Zako Mwenyewe
Kiufupi tu, maisha ni mbio za muda mrefu yaani marathon na sio mbio za muda mfupi yaani Sprint. Hutakiwi kukimbia mbio hizo hapo kwa pupa kwa sababu utachoka haraka na kuishia njiani. Utajikuta humalizi safari yako kwa sababu ya kwenda pupa. Hata ukifanya mazoezi kwa haraka sana utajikuta unafanya kidogo na unachoka lakini ukienda taratibu …
Hii Ndiyo Biashara Inayolipa Kufanya
Karibu Mezani Chakula Kipo Tayari
Ni rahisi sana kuongea kuliko kufanya. Ni rahisi kukaribishwa mezani chakula lakini usijue mchakato wa kupatikana kwa kile chakula. Sehemu ambayo watu huwa wanakula na kulipa baadaye ni kwenye mgahawa. Utaona ni rahisi kuagiza chakula na kuletewa haraka mezani lakini nyuma yake kuna mchakato uandaaji wa kile chakula. Hata unapoisoma hii makala kukufikia jua nyuma …