Mara nyingi mambo yanapokuwa yanaenda ndivyo sivyo huwa tunatafuta watu wa kuwalaumu kwanza. Ni asili ya binadamu kuangalia nani amekosea na siyo kujiuliza na yeye amechangiaje kutokea kwa tatizo. Kabla hujawakamata wengine, jikamate wewe mwenyewe kwanza. Kabla hujawalaumu wengine juu ya kitu chochote kile, jiulaumu wewe mwenyewe kwanza. Kwa tatizo lolote lile linalotokea, kabla hujawalaumu …
Continue reading "Jikamate Wewe Mwenyewe Kabla Hujawakamata Watu Wengine"