Kushinda au kushindwa kuna anza na namna unavyochagua kufanya chochote kile ulichochagua kufanya. Umechagua kufanya mambo kwa namna gani? Kuna vitu ambavyo jinsi tu mwenyewe unavyofanya unaona vinakubariki. Na vingine jinsi tu unavyofanya unaona vina kulaani kabisa. Nilishawahi kukuambia kuwa, baraka huwa haiji kwa maneno. Bali baraka huwa inakuja kwa kufanya kitu. Na siyo tu …
Kuwa Na Mahusiano Mazuri Na Fedha
Kama Unapenda Kupata Fedha Tengeneza Hiki Kwanza
Tengeneza mahusiano yako na fedha vizuri. Hili ni jambo ambalo hujawahi kufundishwa popote, lakini ni muhimu sana. Mahusiano yako na fedha ni muhimu mno. Kinachowafanya wengine wafuatwe na fedha, huku wengine wakizitafuta kwa shida ni mahusiano ambayo mtu amejijenga na fedha. Fedha inaenda kule inakopendwa na inakimbia kule isikopendwa. Ipende fedha, ithamini na ione kama …
Continue reading "Kama Unapenda Kupata Fedha Tengeneza Hiki Kwanza"
Acha Kuteseka Na Hiki Kitu Hapa
Kwa jinsi akili ya binadamu jinsi ilivyo, wako watu ambao wanachoka bila hata ya kufanya kazi kwa sababu ya kufikiria vitu ambavyo hata havipo. Wako watu ambao wanakuwa wanatengeneza picha ya vitu ambavyo hata havipo, kisha ile picha ya vitu waliyoitengeneza inakuja kuwatesa na kuwatengeneza kweli. Aliyekuwa mwanafalsafa wa ustoa, mwanafalsafa Seneca aliwahi kunukuliwa akisema, …
Leo Unakwenda Kuwa Hivi
Aliyekuwa mwanafalsafa wa ustoa mwanafalsafa Epictetus aliwahi kunukuliwa akisema, unakuwa kile unachokipa muda zaidi, unakuwa kile unachowaza, unakuwa kile unachokipa umakini zaidi. Leo nenda kachague kuwa makini kwenye kile unachofanya ili upate matokeo mazuri. Leo unakwenda kuwa vile utakavyotaka kuwa kadiri ya maamuzi yako. Ukichagua leo unataka siku yako iweje na itakua vile ulivyotaka. Utapata …
Kwenye Kila Baya Kuna Zuri La Kujifunza
Kama Ungekuwa Unajua Ungejiandaa Na Hili
Hakuna mtu yeyote anayejua ni wakati gani mwizi atakuja kumwibia. Kama ungelikuwa unajua saa ya mwizi, ungelikesha ili usiibiwe. Mara nyingi matukio yanayotokea kwenye maisha yetu, huwa yanakuja yakitukuta hatujajiandaa. Kwa mfano, majanga mbalimbali, vifo vinavyotokea, ajali na nk. Ni vizuri sana kujiandaa na kile usichotarajia kutokea ili kikitokea kisije kukushtua sana. Kwa kuwa hujui …
Ung’ang’anizi Unalipa,Jaribu Uone
Mtu Mwenye Akili Huwa Anafanya Vitu Kwa Namna Hii
Mtu ambaye akili yake haiko sawa huwa anafanya vitu kwa kutokuwa na sababu. Chochote kile ambacho kinamjia kwenye akili yake yeye anafanya tu bila hata kufikiri. Lakini kwa kuwa wewe ni mtu mwenye akili timamu basi kuwa na sababu za msingi pale unapotaka kufanya jambo. Usifanye kwa sababu ya hisia, bali fanya kwa sababu unayo …
Continue reading "Mtu Mwenye Akili Huwa Anafanya Vitu Kwa Namna Hii"
Ukipata Fedha Ni Kama Vile Umenunua Dawa Mpya Ya Meno
Natumaini kila mmoja huwa anatumia dawa ya meno. Ukiwa na dawa ya meno mpya unakuwa unajiachia kutumia vile unavyotaka na unaamini kuwa haitoisha na ikianza kuisha ndiyo umakini wa kutumia dawa unaanza. Hiyo hali iko hata katika fedha, tukipata fedha tunatumia vibaya mpaka pale inapoisha ndiyo tunakuja kushtuka na akili inarudi hivi imekuwaje mpaka hela …
Continue reading "Ukipata Fedha Ni Kama Vile Umenunua Dawa Mpya Ya Meno"