Ingekuwa wewe umeambiwa uchague kati ya fedha na elimu ya msingi ya fedha ungechagua nini kati ya hivyo?Elimu ya fedha, au fedha? Fedha inaendelea kuwa tatizo kwa sababu watu wengi hawana elimu ya fedha. Siyo kwamba hawapati fedha, wanapata ila elimu ya msingi ya fedha ndiyo tatizo kubwa inawafanya fedha wanazozipata zinawakimbia. Ukiwa huna fedha …
Continue reading "Kabla Hujatafuta Kwanza Fedha, Tafuta Hiki Hapa Kwanza"