Siku zote mtu anayetaka kufanya kitu huwa anakua hana sababu za kutaka kufanya bali;Anafanya tu. Kwa mfano, mtu anayetishia anataka kujinyonga huyo basi hataki kujinyonga bali anatishia tu ili aweze kupata kile anachotaka. Watu wengi huwa wanawatishia wale watu wao wa karibu kuwa wanataka kufanya kitu fulani basi wale wa karibu wanawaomba wasifanye hivyo halafu …
Continue reading “Hii Ndiyo Hatua Ya Mtu Anayetaka Kufanya Kitu”