Hakustahili

Kama una ndoto kubwa halafu kuna mtu anakwenda kinyume na ndoto zako kwenye safari hii ya mafanikio makubwa, basi mtu huyo hakustahili. Unatakiwa kuwa na watu ambao watakuunga mkono kwenye kile unachofanya na siyo watu ambao wanakuwa wanakuvuruga.Usiogope kumpoteza mtu yeyote pale ambapo mtu huyo anakwenda kinyume na misingi yako uliyojiwekea. Rafiki yako ni yule …

Shida Yoyote Kwenye Maisha Inasababishwa Na Vitu Hivi Vitatu

Kadiri ya mfanyabiashara, mwekezaji na mwandishi Kevin O'Leary anasema kwenye maisha kuna wanaume, wanawake na fedha. Mwandishi anasema, shida yoyote kwenye maisha, inatokana na vitu hivyo vitatu. Kama husumbuliwi na mwanamke, basi mwanaume anakusumbua. Na kama kwa mwanamke na mwanaume uko vizuri basi fedha itakua inakusumbua. Kila mmoja wetu ana shida kwenye mahusiano yake au …

Hii Ndiyo Safari Ya Kwanza Kwenye Kupata Fedha

Safari ya kwanza ya kupata fedha nyingi ni kuamua kwanza kiasi gani cha fedha unachotaka, muda utakaotumia kupata fedha hizo . Lakini pia, unapaswa kujua ni nini unapaswa kutoa ili kupata fedha hizo unazotaka. Kama unataka kuwa na fedha nyingi, unahitaji kuwa na mpango thabiti wa kupata fedha hizo na ujue kiasi gani cha fedha …

Anza Na Wewe Kwanza

Kama kuna watu hawakupi kile ambacho wewe unataka kwenye maisha yako, anza kwanza wewe mwenyewe kujipa kitu hicho ambacho unataka kutoka kwao. Kwa mfano, kama unataka upendo kutoka kwa wengine, anza kwanza kujipenda wewe mwenyewe, penda kile unachofanya na kisha wapende wengine na utashangaa vile unavyotaka vitakuja vyenyewe. Kama watu hawakuamini, huna haja ya kuwalazimisha …

Sababu Ya Kuwa Na Maisha Magumu

Maisha tayari ni magumu kiasili, sasa lakini watu wanayafanya maisha kuwa magumu zaidi. Na maisha yanakuwa magumu pale ambapo watu hawafanyi kile wanachopaswa kufanya. Kama kila mtu angekuwa anafanya kila anachopaswa kufanya maisha yasingekuwa magumu. Kama kila mmoja wetu, akifanya kile anachopaswa kufanya, tutafanya dunia kuwa sehemu bora ya kuishi kwa kila mmoja wetu. Ukifanya …

Usinunue Matatizo Mengine

Rafiki yangu nikupendaye, Matatizo uliyonayo, tayari yanakutosha hivyo usinunue mengine. Muda uliokuwa nao kufanya vitu vya msingi ni mdogo mno. Ukisema uhangaike na kila kitu kwenye hii dunia basi utakufa haraka. Ukisema uhangaike na matatizo ya kila mtu hutaweza kuyamaliza. Kwanza matatizo ya watu, huwa yanamalizwa na watu wenyewe.Unaweza kuwa mtu wa huruma sana kusikiliza …

Ukishindwa Hakikisha Huna Sababu

Kama ukifeli mtihani kwa sababu hukusoma, itakuuma sana kwa nini sijasoma huenda ningesoma hata ningefaulu.Lakini, ikitokea unafeli mtihani na ulikuwa umesoma wala haitokuuma kwa sababu ulishafanya yaliyo ndani ya uwezo wako. Au kwa mfano, una mgonjwa anaumwa, ukienda kumuona kabla hajafariki haikuumi sana lakini ukijua mgonjwa amefariki na ulipaswa kwenda kumuona itakuuma sana.Vivyo hivyo katika …

Jinsi Ya Kujenga Afya Ya Roho

Huwezi kuwa binadamu kamili kama hujaweza kukamilika katika maeneo haya, afya ya akili, roho na mwili.Afya ya akili, roho na mwili ni muhimu sana kwa mtu kufikia mafanikio makubwa kwenye maisha yake. Hata watu wengi wenye shida ya akili, huwa haamini kama wana shida ya akili. Na shida ya akili inaanzia pale unapokuwa unakosa afya …

Kama Huna Tabia Hizi Mafanikio Makubwa Hayakuhusu

Kila kitu kwenye maisha yetu huwa kinajengwa na tabia. Watu wengi mambo tunayofanya kila siku yanatokana na tabia ambazo tumejijengea huko nyuma. Watu hawafanyi kitu kama siyo tabia yao. Vitu vingi ambavyo unafanya ni kwa sababu ni tabia yako kufanya ndiyo maana unafanya hivyo. Huwa tunatengeneza tabia, kisha tabia zinatutengeneza. Ili uweze kufika au kufanya …

Vitu Viwili vya Msingi Kwenye Utajiri

Huwa tunakwama kwa sababu ya kufanya vitu vipya kila siku siku kwenye eneo la fedha. Kwenye maisha pia kwa ujumla tunakwama kwa kufanya vitu vipya kila siku huku tukisahau kufanya vitu vya msingi kabisa.Na Utajiri haupo kwa kufanya vitu vingi sana kwenye fedha. Bali utajiri kwenye fedha ni kufanya vitu vya msingi kila siku kwa …

Design a site like this with WordPress.com
Get started