Mwanamafanikio, Kwenye maisha unayo nguvu ya kusema hapana kwa vitu ambavyo hujavipenda. Kwa mfano, unaweza kusema hapana usichopenda. Kama kuna watu ambao hupendi kukaa nao kwa namna wanavyofanya mambo yao, Una uwezo wa kusema hapana na ukakaa na wale unaowapenda. Kama kuna kazi unafanya ambayo huipendi na haiendani na uwezo au vipaji vyako, Una uwezo …
Continue reading "Unao Uwezo Wa Kusema Hapana Kwa Mambo Haya"