Sehemu yoyote inayoenda vizuri nyuma yake kuna kiongozi mzuri.Huwezi kuendelea kwenye eneo lolote lile kama sehemu hiyo hakuna uongozi mzuri. Uongozi mzuri unaanzia na kujiongoza wewe mwenyewe kwanza. Huwezi kuwaongoza wengine kama wewe mwenyewe maisha yako yamekushinda.Ukiweza kujiongoza wewe mwenyewe vizuri, hata wale unaowaongoza watakuchukulia wewe kama mtu wa mfano kwako. Kwenye kuwaongoza wengine, unapaswa …
Siri Moja Ya Mafanikio Kutoka Kwa Bilionea Charlie Munger
Mpendwa rafiki yangu nikupendaye, Hivi karibuni novemba 28, 2023 nilipokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Bilionea Charlie Munger ambaye alikuwa ni mtu ambaye najifunza mengi kutoka kwake. Ni Bilionea ambaye alikuwa anapendwa na watu wengi, alikuwa hana upinzani na watu wengine. Kwa sababu alikuwa ni mtu ambaye ana hekima sana na rafiki yake …
Continue reading "Siri Moja Ya Mafanikio Kutoka Kwa Bilionea Charlie Munger"
Fanya Kazi Na Watu Hawa Utafanikiwa Sana
Kwenye maisha ukifanya kazi na mtu ambaye tayari anaona ameridhika ni ngumu sana kukufanyia kile ambacho unataka tena kwa wakati. Watu walioridhika na mafanikio kidogo ni sumu kubwa kwenye safari yako ya mafanikio.Unapaswa kufanya kazi na mtu ambaye ana njaa ya mafanikio na siyo mtu ambaye ameshiba. Waswahili walishasema, mwenye shibe hamjui mwenye njaa.Fanya kazi …
Hii Ndiyo Maana Ya Mafanikio Kwako
Mafanikio yana maana tofauti kwa watu tofauti. Kwenye maisha usishindane na mtu kwa sababu kila mmoja ana maana yake kwenye. Unaweza ukahangaika kuwa kama wengine lakini baadaye unajikuta mtupu kwa sababu unaishi maana ya wengine na siyo yako.Ukijua nini maana ya mafanikio kwako, utakua unacheza mchezo wako mwenyewe.Na raha ya maisha ni pale unapokuwa unajua …
Hata Siku Moja Usiingiwe Na Hii Hali Kwenye Maisha Yako
Kwenye jambo lolote lile kwenye maisha watu huwa wanataka matokeo ya haraka. Watu wasipopata matokeo ya haraka, wanakuwa hawana subira hivyo wanajikuta wanakata tamaa. Hutakiwi kususa pale unapopata matokeo ya tofauti. Bali endelea kujisukuma zaidi kwenye kile unachofanya mpaka upate matokeo ya tofauti. Kushindwa ni kulipa ada. Hata kama hujapata matokeo mazuri kwenye kile unachofanya. …
Continue reading "Hata Siku Moja Usiingiwe Na Hii Hali Kwenye Maisha Yako"
Nadharia Ya Dawa Ya Meno Kwenye Fedha
Pata picha, ukinunua dawa ya meno au ya mswaki unavyokuwa unaitumia.Dawa ikiwa mpya, wala hutojali, utaitumia vile uvyotaka mwanzoni kwa sababu ipo nyingi. Lakini, pale dawa hiyo inapokaribia kuisha ndiyo unakuja kushtuka na kuanza kuitumia vizuri.Kama ulikuwa unaiminya juu, utaanza kuiminyia chini kwa uangalifu.Utaitumia vizuri kuhakikisha inakusaidia kusukuma siku kabla ya kwenda kununua nyingine. Sina …
Ni Jukumu Lako Kuchukua Hatua Ili Kufanikiwa
Rafiki yangu nikupendaye, Usisubiri kupewa ruhusa, ukisubiria kupewa ruhusa kwenye maisha yako utajikuta unachelewa kwenye kila eneo la maisha yako. Kama kuna kitu unakitaka kwenye maisha yako, hakikisha unachukua hatua mpaka ukipate. Wewe ndiye mkurugenzi mkuu wa maisha yako. Hivyo basi, usisubiri mpaka watu waje kukuambia kwamba unatakiwa kufanya mambo fulani fulani, badala yake, unaangalia …
Continue reading "Ni Jukumu Lako Kuchukua Hatua Ili Kufanikiwa"
Njia Rahisi Isiyokuwa Na Gharama Kubwa Ya Kuwatambua Na Kuwathamini Watu Kwa Michango Yao
Mpendwa rafiki yangu, Watu wengi hufikiri ili uwatambue watu na kuthamini michango yao basi unahitaji uwe na fedha nyingi. Kwa mfano, kama ni wasaidizi uwe na fedha nyingi za kuwaongezea mshahara, kuwapa marupurupu na hata kuwapa zawadi mbalimbali. Lakini hilo siyo kweli. Watu huwa wanathamini vitu vidogo tu kwa mfano, kumsifia mtu mbele ya wengine. …
Baadaye Amewaangusha Wengi
Rafiki yangu nikupendaye, Kama kuna kitu unaweza kukifanya sasa kifanye tu. Na kama hukiwezi kufanya ni bora uache kabisa kuliko kusema nitakifanya baadaye. Baadaye imetudanganya wengi, baadaye ingekuwa inafanyiwa kazi basi leo watu wangekuwa mbali sana. Lakini, baadaye haifanyiwi kazi badala yake watu wengi wanajificha kwenye mwamvuli wa baadaye. Kinachowezekana kufanyika sasa kisingoje kesho wala …
Kama Hana Uhitaji, Usimfanyie
Mpendwa rafiki yangu nikupendaye, Kama mtu hajakuomba ushauri usimpe. Kwa sababu, hata ukimpa hata kwenda kuufanyia kazi ushauri uliotoa. Toa ushauri kwa mtu ambaye amekuomba ushauri ndiyo atauthamini na kuufanyia kazi. Siyo tu ushauri, hata kama mtu hajakuomba kitu usimpe maana hata kithamini.Mtu kama hana uhitaji wa kitu hicho, hata ukimpa atakipuuza tu. Wasaidie wale …