Rafiki, Iko hivi, kadiri unavyofanikiwa ndivyo unavyodanganywa zaidi. Unajua kwa nini ? Kwa sababu watu wanakuambia kile unachotaka kusikia. Kwa mfano, machawa, watakupa kile unachotaka kusikia. Siyo watu wote watakuwa wema kwako, hivyo kadiri unavyofanikiwa, ndivyo unavyodanganywa zaidi hivyo kuwa makini. Mara zote kuwa na machale, ili usiwe mtu wa kudaganywa kila wakati. MUHIMU;Kama bado …
Continue reading "Haya Ndiyo Yanayokukuta Kadiri Unavyofanikiwa Zaidi"