Rafiki yangu nikupendaye, Kadiri siku zinavyozidi kwenda, watu wanakuwa na mambo mengi na muda ni mchache wa kukamilisha yote.Kifupi hatuna muda wa kufanya kila kitu, ila tunao muda wa kufanya vitu muhimu tu. Watu wa zama hizi wanapoteza umakini. Kuna wakati tunashindwa kupata kile tunachotaka kwa sababu ya kukosa umakini wa ufuatiliaji. Zama hizi tunakabiliwa …
Continue reading "Ustaarabu Pekee Unaopaswa Kuwa Nao Zama Hizi"