Watu wengi wakisikia neno mauzo, hufikiria bidhaa, bei, wateja na fedha.Lakini ukweli wa maisha ni huu:kila mtu ni muuzaji, hata kama hajawahi kusoma mauzo. Kila siku unauza kitu.Swali si kama unauza au la,swali ni unauza nini, na unakiuza kwa ubora gani? Maisha ya kila siku ni uwanja wa mauzo Unapoomba ajira, unauza uwezo wako Unapotaka …
Continue reading "January 15: Maisha ni Mauzo — Unauza Nini Bila Kujua?"