Kila binadamu ana asili ya mahusiano kadiri ya vinasaba. Kama kila mtu yuko katika mahusiano basi anatakiwa kujua somo la msamaha. Kama wewe uko hai basi unapaswa kujifunza juu ya msamaha, kwanini? Kwa sababu msamaha ni somo ambalo limegusa maisha yetu sisi binadamu kwa ujumla. Kila siku kuna watu ambao wanakwenda kinyume na sisi, wako …
Jinsi Ya Kujijua Kama Umeelewa Jambo Vizuri
Dunia kwa sasa imerahisishwa, kila kukicha watu wanafikiria ni namna gani wanaweza kufanya mambo kuwa marahisi na siyo magumu. Watu waliotutangulia duniani kabla ya kizazi chetu huenda maisha yao yalikuwa ni magumu kuliko sasa. Kwa sasa maisha yamerahisishwa sana, hatupo tena kwenye zama za mawe, bali tupo kwenye zama za taarifa. Dunia iko mikononi mwako, …
Continue reading "Jinsi Ya Kujijua Kama Umeelewa Jambo Vizuri"
Jinsi Ya Kuishi Muda Mrefu
Mpendwa rafiki yangu, Kila mmoja wetu anapenda kuishi muda mrefu hapa duniani. Licha ya kuwa tunapenda kuishi muda mrefu hapa duniani tukae tukijua kuwa iko siku tutakufa. Iko mbinu ya kuishi muda mrefu ambayo ukiitumia kwenye maisha yako kuanzia sasa utakapojifunza hapa utafanikiwa sana. Aliyekuwa mwanafalsafa wa falsafa ya ustoa Seneca enzi za uhai wake …
Jinsi Ya Kujenga Tabia Yoyote Ile
Mtu mmoja alishawahi kusema, tunatengeneza tabia na kisha tabia zinatutengeneza sisi. Jinsi ulivyo ni matokeo ya tabia ambazo umejitengenezea wewe mwenyewe. Tabia yoyote ile haijengwi kwa siku moja. Bali yale mazoea tunayoanzisha ya kupendelea kufanya mara kwa mara unajikuta tayari imeshakuwa tabia. Kwa mfano, huna tabia ya kuweka akiba, unachukua hata shilingi mia mbili unakuwa …
Hiki Ndicho Kinachokufanya Ujiumize Kwenye Jambo Fulani
Huwa tunajiumiza sisi wenyewe kwa kujua au kutokujua. Tunatengeneza picha ya vitu ambavyo siyo vya uhalisia kisha zile picha zinakuja kututengeneza. Hakuna tofauti na vile mtu anapotengeneza tabia yeye mwenyewe kisha tabia zile zile alizozitengeneza zinakuja kumtengeneza na yeye. Huwa tunajipa maumivu sisi wenyewe, pale ambapo tunapoona tukio fulani limetokea basi tunaanza kujihukumu sisi wenyewe …
Continue reading "Hiki Ndicho Kinachokufanya Ujiumize Kwenye Jambo Fulani"
Kitu Muhimu Cha Kujifunza Kutoka Nelson Mandela
Aliyekuwa raisi wa south Africa Nelson Mandela ni moja mtu muhimu ambaye tunaweza kujifunza kutoka kwake juu ya msamaha. Alifungwa gerezani kwa miaka 27 lakini baada ya kutoka gerezani aliweza kuwasamehe watesi wake waliomfunga. Hakutaka kulipa kisasi juu yao bali kisasi aliamua kumwachia Mungu. alisema kuwa asipowasamehe wale waliomfunga atakuwa bado yuko gerezani. Ni mara …
Continue reading "Kitu Muhimu Cha Kujifunza Kutoka Nelson Mandela"
Jinsi Ya Kukuza Kipato Chako
Mpendwa rafiki yangu, Ni kawaida ni sheria kuwa mtu unalipwa kadiri ya thamani unayoitoa sokoni. Kama kipato chako ni kidogo basi huenda thamani unayotoa ni ndogo pia. Bila kuwa na kipato kizuri huwezi kufanya kile unachotaka kufanya, muda mwingine una mawazo mazuri lakini unashindwa kuyafanyia kazi kwa sababu ya kipato kidogo. Licha ya wengine kuwa …
Utaacha Vitu Gani Kati Ya Hivi Viwili Pale Utakapokufa
Mpendwa rafiki yangu, Kila mtu atakufa hilo liko wazi. Je tukifa tutawaachia nini wale ambao tumewaacha duniani? Kama hakuna kitu ulichofanya, dunia itakusahau haraka sana ila kama kuna kitu umekifanya dunia itakulilia sana na kukukumbuka kwa yale mazuri uliyofanya. Je ukifa utaiachia nini familia yako? Kuna watu wakifa wanaiachi familia zao shida. kwa mfano, wanaziachi …
Continue reading "Utaacha Vitu Gani Kati Ya Hivi Viwili Pale Utakapokufa"
Jinsi Ya Kumjua Mtu Anayetaka Au Asiyetaka Kufanya Jambo Fulani
Tunaishi na viumbe wenye akili sana ambao ni binadamu. Kuishi na binadamu vizuri inahitaji akili sana, ukishawajua watu ni rahisi sana kuishi nao hawatakuumiza kichwa hata siku moja. Ziko njia mbili za kumjua mtu anayetaka au asiyetaka kufanya jambo fulani, ni rahisi sana tu kwani ukishamsoma mtu utajua yuko upande gani. Kwanza, kama mtu anataka …
Continue reading "Jinsi Ya Kumjua Mtu Anayetaka Au Asiyetaka Kufanya Jambo Fulani"
Sehemu Tatu Unazopaswa Kujifunza Zaidi Ili Kuwa Bora
Mpendwa rafiki yangu, Zama zimebadilika sana, kama usipokuwa bora utashindwa kuishi kwenye dunia ya leo. Unatakiwa kujifunza kila siku kadiri ya mabadiliko yanayoendelea kutokea. Kuna maeneo matatu ambayo kama kila mmoja wetu akiweka nguvu ataweza kufanikiwa sana. Ni maeneo ya kawaida kabisa ambayo kila mmoja wetu anaweza kujifunza na kuwa bora kisha akafanikiwa kwenye kile …
Continue reading "Sehemu Tatu Unazopaswa Kujifunza Zaidi Ili Kuwa Bora"