Habari njema ni kwamba kila mtu ni kiongozi hapa duniani, hata kama huna watu unaowaongoza lakini kuna mtu ambaye unamuongoza ambaye ndiyo wewe mwenyewe. Kila siku unajiongoza na unafanya vizuri kwa uthibitisho huo wewe ni kiongozi na ni mkurugenzi wa maisha yako. Hivyo ninapokuambia wewe ni kiongozi furahia na wala usibishe kwani hilo halina ubishi …
Continue reading "Huu Ndiyo Msingi Ambao Kila Kiongozi Anapaswa Kuwa Nao"