Kinachoshindikana kwako, kwa mwingine kinawezekana. Watu tumezidiana uwezo, kitu ambacho kwako unakiona ni kigumu kwa mwenzako ni kirahisi. Hakuna kitu kigumu bali ugumu uko kwa mhusika mwenyewe. Kama hesabu watu wanasema ni ngumu lakini mbona kuna watu wanaifaulu vizuri? Hapa ndiyo tunajifunza dhana hii kwamba hakuna kitu kigumu bali ugumu uko kwa mhusika mwenyewe. Unaweza …
Continue reading "Jinsi Ya Kufanya Kisichowezekana Kadiri Ya Mt. Fransisco"