Habari za leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama na huku ukimalizia mwisho wa juma vizuri. Hongera sana kwa zawadi ya siku hii ya leo uliyoweza kuipata natumaini utakua umeitumia vema. Leo mwisho wa juma hili pangilia mambo yako ambayo utakwenda kuyatekeleza kuanzia juma jipya linaloanza …
Continue reading "Wimbo Wa Hamasa Utakao Kuhamasisha Kufanya Kazi"