Usiwaonee watu wote waliofanikiwa katika jambo fulani kuwa walifanikiwa kirahisi. Hapana, hakuna aliyefanikiwa kirahisi kwenye jambo lolote hata lile ambalo unaliona wewe ni rahisi. Kwa mfano, kila siku umeshajijengea imani kwamba ukiingia katika mtandao huu wa Kessy Deo lazima utakutana na kitu kipya. Ila mpaka unakuja kuiona makala imekwenda hewani kuna mchakato mkubwa sana umefanyika. …
Continue reading "Kabla Hujapata mtu Sahihi Utapitia Hali Hii"