Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu umeamka salama na unaendelea vizuri. Karibu tena katika kona yetu ya uchambuzi wa Kitabu ambapo leo nitakwenda kukushirikisha mambo muhimu niliyojifunza kupitia Kitabu hiki cha Don't Go Back To School. Mambo 20 niliyojifunza katika kitabu cha DON'T GO BACK TO …
Kama Wewe Ni Mfuatiliaji Wa Habari,Basi Usikubali Kupitwa Na Habari Hii Muhimu Kwako
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama na umeianza siku yako nzuri katika hali ya mtazamo chanya wa kwenda kufanya mambo makubwa na yenye tija kwenye maisha yako. Leo ni siku bora sana na ya kipekee kwetu ,tunamshukuru Mungu kwa kuweza kutustahilisha tena kuiona …
Jambo Muhimu La Kusimamia Kwenye Maisha Yako
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni imani yangu kuwa umeamka salama tena siku hii ya leo. Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya siku hii ya leo hivyo basi leo ni siku bora sana na ya kipekee kwetu kwenda kufanya makubwa kwenye maisha yetu. Tumia vema zawadi ya siku hii …
Continue reading "Jambo Muhimu La Kusimamia Kwenye Maisha Yako"
Muhimu; Kama utaweza Kutawala Kitu Hiki Utakua Umekoa Nafsi Nyingi Za Watu
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea kuboresha maisha yako bila kusahau kugusa na maisha ya watu wengine, leo ni siku bora na ya kipekee kwetu tunakwenda kufanya makubwa na kutegemea kupata makubwa zaidi. Mpendwa rafiki, tunaalikwa kutumia vema muda wetu wa leo …
Continue reading "Muhimu; Kama utaweza Kutawala Kitu Hiki Utakua Umekoa Nafsi Nyingi Za Watu"
Hii Ndiyo Nadharia Ya Mafanikio Yote Unayoyaona Hapa Duniani
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri, leo ni siku bora na ya kipekee sana kwako natumaini umeiazna siku yako kwa hamasa kubwa itakayokuwezesha kutimiza mipango yako uliyojiwekea katika juma hili. Kwahiyo, tunaalikwa kutumia vizuri rasilimali ya muda tuliopewa bure tumia muda …
Continue reading "Hii Ndiyo Nadharia Ya Mafanikio Yote Unayoyaona Hapa Duniani"
Uchambuzi; Mambo 20 Ya Kujifunza Kwenye Kitabu Kinachoitwa 15 Secrets Successful People Know about Time Management
Habari ya leo Mpendwa Rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Natumaini uko salama Ndugu, na leo ni siku bora sana kwetu na ya kipekee hivyo tunaalikwa kushukuru kwa zawadi ya siku hii ya leo. Ndugu msomaji, leo nitakwenda kukushirikisha uchambuzi wa Kitabu yale muhimu niliyoweza kujifunza kati ya mengi. Karibu katika uchambuzi wetu …
Jambo Muhimu sana La Kujifunza Kutoka Katika Falsafa Ya Ustoa
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama rafiki yangu. Hongera kwa zawadi ya siku hii ya leo mpendwa msomaji ambapo leo ni siku bora sana kwako na ya kipekee hivyo tegemea kufanya makubwa na kupata makubwa. Shukuru kwa zawadi ya uhai na utendee haki …
Continue reading "Jambo Muhimu sana La Kujifunza Kutoka Katika Falsafa Ya Ustoa"
Jinsi Ya Kushinda Hofu Na Kutumia Uwezo Wako Kuteka Mafanikio Unayoyataka
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama na unaendelea vizuri kutimiza kusudi lako hapa duniani. Leo ni siku bora na ya kipekee kwetu kwenda kufanya makubwa na kutegemea kupata makubwa. Hongera sana rafiki kwa zawadi ya siku hii ya leo hivyo tunaalikwa sote kutumia …
Continue reading "Jinsi Ya Kushinda Hofu Na Kutumia Uwezo Wako Kuteka Mafanikio Unayoyataka"
Yafahamu Maneno Mawili (02) Yanayoongeza Thamani Katika Maisha Yako
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa uko salama na unaendelea vizuri. Hongera sana kwa zawadi ya siku hii ya leo kwahiyo, tunaalikwa kutumia vizuri siku yetu ya leo. Jali siku yako na jali muda wako usikubali kupoteza siku bure bila kufanya kitu chenye maana. Mpendwa …
Continue reading "Yafahamu Maneno Mawili (02) Yanayoongeza Thamani Katika Maisha Yako"
Muhimu; Usikubali Kuingiza Kitu Hiki Kwenye Maisha Yako
Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri kupambana hatimaye kupata kile unachokitaka. Katika maisha ni ngumu sana kukwepa changamoto sehemu yoyote ile, chochote unachofanya lazima utakutana na changamoto hivyo jiandae kukabiliana nazo. Mpendwa msomaji, leo ni siku bora na ya kipekee kwetu …
Continue reading "Muhimu; Usikubali Kuingiza Kitu Hiki Kwenye Maisha Yako"