Kabla Hujainyoosha Dunia Fanya Hiki

Huwa tunajikuta tunataka kuwa viraja wa dunia. Mama Theresa aliwahi kunukuliwa akisema, kama unataka kubadili dunia, nenda nyumbani kaipende familia yako. Kama unataka kuibadili dunia anza kujibadili wewe mwenyewe kwanza. Nyoosha kwanza maisha yako kabla hujajipa jukumu la kuinyoosha dunia. Tunayo mambo mengi sana ya yakufanya na kama tungekuwa tunayafanyia kazi basi tungekuwa mbali na …

Mbinu Moja Nzuri Ya Kuokoa Gharama

Ni kawaida ya matumizi kuongezeka pale kipato kinapokuwa kimeongezeka. Huwa tunajidanganya kuwa kama mshahara au kipato kikiongezeka basi shida zetu zitakuwa zimepungua. Kipato kinapokuwa kimeongezeka zaidi na matumizi nayo huwa yanaongezeka. Mwanzoni ulipokuwa na kipato kidogo ulikuwa huoni hata matumizi makubwa lakini shida inakuja pale tu kipato kinapoongezeka yanaongezeka matumizi ambayo hata hukuwahi kuyafikiria. Nikupe …

Kuwa Sawa Na Wengine Lakini Siyo Eneo Hili

Unaweza kuwa sawa kama wengine, ukala kile ambacho wengine wanakula, wanakunywa. Unaweza kuvaa kama vile wengine wanavyovaa, kucheza kama wengine wanavyocheza lakini; Kamwe usiwe wa kufikiri sawa na wengine na kuamuliwa kile ambacho unataka katika maisha yako. Unaweza kuwa sawa na wengine katika maeneo mbalimbali lakini siyo kwenye kufikiri, ili uwe wa tofauti lazima ufikiri …

Mafanikio Yote Yanaanza Kitu Hiki

Sisi binadamu tuna asili ya uvivu ndani yetu, miili yetu huwa haipendi sana shida ndiyo maana hata wakati wa kuamka asubuhi kutoka kitandani unakuwa unapata upinzani mkubwa kutoka katika mwili wako. Mwili huwa unataka kile unachotaka, hivyo ukiwa ni mtu wa kuusikiliza mwili utavuna mabua, mwili hauhitaji uwe mtu wa demokrasia bali udikteta. Mafanikio yote …

Je Una Amini Kauli Hii?

Mimi nina amini kauli ya mwandishi na mwanafalsafa Zig Ziglar inayosema; Unaweza kupata kitu chochote kwenye maisha yako kama ukiwasaidia watu wengine vya kutosha kupata kile wanachotaka. Kama unahitaji kupiga hatua ni lazima uwasaidie wengine kupata kile wanachotaka na wewe utapata kile unachotaka. Huwa tunapambana nakuamini kuwa mafanikio yatakuja kwa jeshi la mtu mmoja. Mafanikio …

Hakuna Aliyeamka Na Kujikuta Ana Deni Hili

Kila kitu kinaanza kidogo, huwa tunadharau vitu vidogo kumbe vitu vidogo tunavyovichukulia poa ndiyo vinatuletea madhara makubwa. Hakuna tatizo kubwa bila tatizo dogo. Tatizo lolote kubwa limeanza likiwa dogo. Hata katika tabia, hakuna tabia ambayo unayo leo iliyoshuka kutoka mbinguni kwa siku moja bali tabia ambayo unayo leo ilianza kidogo kidogo na hatimaye leo kuwa …

Njia Rahisi Ya Kufanya Makubwa

Uko duniani kwa sababu, hakuna ambaye yuko duniani bila sababu maalumu.Una kusudi ndiyo maana unaishi. Je swali la kujiuliza unaishi kulifanyia kazi kusudi lako au unaishi tu ili mradi siku iende? Wako ambao wamejiwekea malengo ya kutafuta tu hela ya kula na wako ambao wamejiwekea malengo makubwa ya kuwa na fedha nyingi hatimaye kuwa na …

Hiki Ndicho Kitu Kinachoathiri Maisha Yako

Maisha yetu yameathiriwa na kitu kimoja kikuu nacho ni maamuzi. Maamuzi tunayofanya kila siku ndiyo yanayoweza kuathiri maisha yetu kwa kiasi kikubwa. Je ni nini kilichokufanya uwe hapo ulipo leo? Bila shaka ni maamuzi ambayo tayari ulishayafanya huko nyuma. Kinachowafanya watu wasiendelee au kuendelea basi eneo linalowasumbua ni maamuzi tu na wala siyo kitu kingine. …

Hivi Ndivyo Soko Linavyokuwa Halina Huruma

Kwa kuanza tu hivi unafikiri ni nani anayepanga bei ya maembe sokoni? Au kitu chochote kile? Unaweza ukawa na maoni mengi juu ya hili ila ukweli ni kwamba soko huwa linajiendesha lenyewe na ndiyo maana nimekuambia hivi soko huwa halina huruma linapoamua kufanya kitu huwa haliangalii sura ya mtu. Soko linaamua kama vile asili inavyoamua …

Faida Moja Ya Kufanya Kazi Kwa Juhudi

Wale wote waliofanikiwa usione kama wamefanikiwa kwa bahati licha ya bahati nayo inahusika katika mafanikio. Bahati huwa haiji huku tukiwa tumeweka mikono mifukoni bali huku tukiwa tunajituma zaidi. Watu wote wenye bahati ni wale wanaofanyia kazi mawazo yao.Kama ungefanyia kazi mawazo yako leo hii ungekuwa wapi? Angalia mawazo yako yote ambayo hujayafanyia kazi kama leo …

Design a site like this with WordPress.com
Get started