Sisi binadamu huwa tunafanya au hatufanyi kitu kwa sababu kuu mbili. Ukiona mtu hataki kufanya au hawezi kufanya sababu kuu inakuwa ni uwezo au motisha. Mwingine hataki kufanya jambo kwa sababu hawezi kufanya. Yaani uwezo wake ndiyo unamfanya afanye vizuri au la. Wengine wana uwezo wa kufanya lakini hawataki tu kufanya kwa sababu hawana motisha. …
Continue reading "Sababu Ambazo Zinapelekea Mtu Kutokufanya Jambo"