Kama tunavyojua Simba ndiyo mfalme wa mwituni. Na ufalme wake huu hautokani na yeye kuwa mrefu sana, mzuri sana bali ni mtazamo alionao. Simba ana mtazamo tofauti na wanyama wengine. Ila kikubwa ambacho nimependa kushirikisha kutoka kwa Simba ni Simba anawinda ili apate kitoweo. Hapa unajifunza nini, na wewe fanya mpaka upate matokeo unayoyataka. Hatua …
Continue reading "Jambo Muhimu La Kujifunza Kutoka Kwa Simba"