Fanya mambo ya kawaida yaani yale ambayo yako ndani ya uwezo wako halafu mambo makubwa ambayo yako nje ya uwezo wako mwachie Mungu atafanya. Huwa tunajisumbua kupambana na kila kitu, ndiyo maana tunajikuta tuna kazi sana. Kwa mfano, tukimchukulia Musa kwenye kitabu cha Biblia yeye alikuwa na fimbo tu ya kawaida iliyokuwa mkononi mwake alifanya …
Continue reading “Fanya Kinachowezekana Halafu Kisichowezekana Mwachie Huyu”