Mara nyingi tunapofanya jambo lolote lile, liwe baya au zuri wale wanaotenda ndiyo wanakuwa wa kwanza kuathirika. Kwa mfano, ukimtendea mtu ubaya yule unayemtendea hatoumia sana kama wewe unayetenda. Vivyo hivyo katika utendaji, sisi wenyewe huwa tunajua uwezo wetu, hivyo tunapofanya kitu kwa kiwango cha chini kuliko uwezo wetu huwa tunaumia kwa ndani. Tunapata maumivu …
Continue reading “Huyu Ndiye Anayeumia Pale Unapofanya Kitu Chini Ya Kiwango”