Tafiti za biashara nyingi mpya zinazoanzishwa zinasikitisha sana. Biashara nyingi zinazoanzishwa nyingi zinakufa kabla hata ya miezi sita. Ni watu wengi sana huwa wanaanzisha biashara lakini wanashidwa kukuza biashara zao. Wengi wanaanzisha miradi lakini miradi au hicho walichoanzisha wala hakidumu baada ya muda kina kufa. Nimeshashuhudia katika jamii ninayoishi, wengi wanaanzisha biashara na hazijachukua hata …
Continue reading “Kama Unataka Kuanza Kufanya Biashara Yoyote Hakikisha Unakuwa Na Hiki”