Biashara nyingi huwa zinawategemea wamiliki moja kwa moja, yaani wasipokuwepo basi na biashara nayo inakufa. Tunaona biashara nyingi zinakufa kwa sababu ya wamiliki hawakuacha mfumo wa kuendesha biashara hizo. Biashara nyingi zinaendeshwa kama mmiliki wa biashara ndiyo anakuwa fundi, asipokuwepo fundi basi mambo mengine hayawezi kwenda. Watu wakubwa waliofikia mafanikio makubwa, waliweza kuziacha biashara zao …
Continue reading "Faida Moja Wapo Ya Kuwa Na Mfumo Wa Kuendesha Biashara"