Ukichunguza kila bure siyo bure kweli. Kwa sababu vitu vingi ambavyo huwa tunapewa bure, siyo bure kwa namna yoyote ile. Bure huwa inatumika kama chambo ili wahusika waweze kukusogeza kwenye kile wanachotaka. Siyo mara yako ya kwanza wewe kuna kwenye bure na baadaye ukajikuta unaingia kwenye gharama kubwa. Bure inakuzuia wewe kupata kile unachotaka. Kwa …
Mambo Siyo Rahisi Kama Wachambuzi Wa Mipira
Ukiwaangalia wachambuzi wa mpira wanavyochambua mambo ya mpira unaweza kufikiria kuwa mambo ni marahisi hata kwenye maisha kiujumla. Mambo siyo rahisi. Kwenye kila kitu kazi inahitajika. Kuchambua na kucheza ni vitu viwili tofauti. Kuchambua ni kuongea na kuongea ni kila mtu anaweza. Kucheza ni kazi na watu wengi hawataki kazi ndiyo maana maisha huwa yanawapiga …
Continue reading "Mambo Siyo Rahisi Kama Wachambuzi Wa Mipira"
Kile Unachotaka Kimejificha Sehemu Hii Hapa
Kila mmoja wetu kuna kitu anakitafuta kwenye maisha yake. Kila mmoja wetu ana kitu anachotaka kwenye maisha yake. Na vitu vyote tunavyovitaka haviwezi kuja kirahisi huku sisi tukiwa tumeweka mikono yetu mifukon. Bali, chochote tunachotaka au kukitafuta tutakipata kwa njia ya kukifuatilia. Kila kitu kwenye maisha yetu kimejificha kwenye UFUATILIAJI. Ufuatiliaji kwenye kila eneo la …
Continue reading "Kile Unachotaka Kimejificha Sehemu Hii Hapa"
Haupewi Unachostahili Bali Unapewa Hiki
Wakati wa kutafuta kitu fulani kwenye maisha yetu huwa tunaamini kwamba tunastahili kupata kile tunachotaka. Tunapokuwa tunaamini tunastahili kupata, na matokeo yakija tofauti tunaona kuwa dunia ina kisirani na sisi. Tunaanza kulalamika na kuona kama dunia imetufanyia ukatili.Kama kila mtu anastahili kupata kile anachokitaka, basi mafanikio makubwa kwenye maisha yangekuwa rahisi sana. Unachopaswa kujua ni …
Manung’uniko Ya Watu
Rafiki yangu nikupendaye, Kama unafanya kazi ya mtu hakikisha basi unaifanya kazi hiyo kwa usahihi na kumwachia mtu kazi nzuri. Kama mtu anakudai hakikisha unalipa hela ya watu. Usipende kukaa na hela ya watu kwa sababu, manung'uniko ya watu hayawezi kukuacha salama. Kama kazi yako wewe ni kuharibu mahusiano ya watu, basi manung'uniko ya watu …
Njia Rahisi Ya Watu Kukupuuza
Sisi binadamu ni rahisi sana watu kutupuuza kama kuna kitu ambacho tulishakijenga ndani yetu halafu tukashindwa kukitekeleza. Kwenye maisha tunaalikwa kuwa tuishi kile ambacho tunakisema. Na hapa tunakuwa tunaishi falsafa hii, ahidi makubwa na tekeleza makubwa. Watu wengi wamekuwa siyo waaminifu, wanaahidi tu lakini hawatekelezi. Watu huwa wanatupuuza pale ambapo tunakuwa tumeahidi halafu tumeshindwa kutekeleza …
Wape Watu Mrejesho
Mrejesho ni zawadi. Kila mmoja wetu anapenda kupokea mrejesho wa kile ambacho amefanya au kusikia mrejesho kutoka kwa wale ambao amewafanyia kitu. Lakini watu wengi hawana ustaarabu kwenye maisha. Watu hawatoi mrejesho na unashindwa kujua kama kile ulichotoa au kimemsaidiaje.Watu wanahitaji mrejesho kwenye kila eneo la maisha yetu. Na mrejesho ni zawadi kwa kila mmoja …
Jinsi Ya Kuwashawishi Watu Kufanya Kitu
Mpendwa rafiki yangu, ukitaka kuwashawishi watu, wape watu maana na watakuwa tayari kufanya kitu hiko haya kwa gharama ndogo. Watu wanapenda kufanya kitu chenye maana kwao na kwa wengine hata kama hawapati malipo makubwa. Kwa mfano, watu wanaweza wakajituma sana kwenye kazi za kusaidia kuliko hata kazi wanazolipwa. Unajua ni kwa nini? Hii ni kwa …
Lenga Jitihada Zako Zote Hapa Na Utafanikiwa
Huwa tunajua kwamba mtu akitawanya nguvu ndiyo anafanikiwa. Yule mtu anayejaribu vitu vingi ndiyo anaonekana mjanja kuliko yule anayeshughulika na kitu kimoja. Waswahili wanasema, mshika mawili moja, humponyoka. Hivyo basi, kama mtu akiweka nguvu zake kwenye kitu kimoja ataweza kufanikiwa zaidi. Ili uweze kufanikiwa kwenye jambo lolote lile, kwanza lenga Jitihada zako zote sehemu moja.Amua …
Continue reading "Lenga Jitihada Zako Zote Hapa Na Utafanikiwa"
Haya Ndiyo Matumizi Matatu Ya Fedha
Fedha ni jawabu la mambo yote. Hilo halina ubishi kwani inakubalika kila eneo la maisha yetu. Mwandishi wa kitabu cha Total Money Makeover mwandishi Dave Ramsey amesema kwamba, fedha ina matumizi matatu na matumizi hayo ni kama ifuatavyo. Moja, kufurahia maisha.Je, unafurahia maisha yako?Hakuna maana kukazana upate fedha nyingi halafu ushindwe kuyafurahia maisha yako. Unapaswa …