Rafiki yangu nikupendaye, Huu ni msimu wa sikukuu. Na watu wengi tunaongozwa na hisia ya kufanya manunuzi kwa kipindi hiki. Fedha ikiwepo, huwa haikosi matumizi. Kila mmoja anaingia kwenye mtego wa manunuzi. Huwa tunanunua vitu na baadaye tunakuja kujilaumu. Kitu kikubwa unachotakiwa kuzingatia kwa kipindi hiki ni umakini tu. Unajua kwa nini? Kwa sababu, ukishakuwa …
Continue reading "Ukishakuwa Na Fedha Utakutana Na Hiki Hapa"