Rafiki, hebu nikukumbushe jambo moja la msingi—UMASIKINI NI MBAYA.Na hii si sentensi ya kisiasa au ya kushtua watu. Ni ukweli mchungu lakini wa muhimu sana kuelewa. Kila tatizo kubwa linalowakumba watu au jamii, ukiichunguza kwa undani, utakuta chanzo kikuu ni fedha. Hebu fikiria haya: Afya mbovu? Watu hawana pesa ya kupata matibabu bora, kula chakula …
Continue reading "TATIZO NI PESA: Ukweli Usiosemwa Mara Nyingi"